Vurugu hizo zilitokea baada ya mwanafunzi mmoja kupoteza maisha kwa kugongwa na lori lenye namba za usajili T 632 BVY. Baada ya ajali hiyo, wananchi walifunga barabara kwa mawe na kuchoma matairi wakizuia magari kupita katika barabara ya Kilwa jambo lililopelekea polisi kuingilia kati. Ili kutuliza vurugu hizo kutoka kwa wananchi waliokuwa wanadai kuchoshwa na ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo, polidi walilazimika kutumia mabomu ya machozi pamoja na kupiga risasi hewani katika kuwatawanya wananchi.
DJ RODGER

ABM RADIO

Thursday, October 3, 2013
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA WAKATI WA VURUGU ZA MBAGALA LEO
Vurugu hizo zilitokea baada ya mwanafunzi mmoja kupoteza maisha kwa kugongwa na lori lenye namba za usajili T 632 BVY. Baada ya ajali hiyo, wananchi walifunga barabara kwa mawe na kuchoma matairi wakizuia magari kupita katika barabara ya Kilwa jambo lililopelekea polisi kuingilia kati. Ili kutuliza vurugu hizo kutoka kwa wananchi waliokuwa wanadai kuchoshwa na ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo, polidi walilazimika kutumia mabomu ya machozi pamoja na kupiga risasi hewani katika kuwatawanya wananchi.
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment